Saturday 28 April 2018

CRC YAKUTANA NA WASAIDIZI WA KISHERIA NA MAAFISA USTAWI WASAIDIZI


Afisa mradi kutoka kituo cha usuluhishi (Crisis Resolving Center - CRC) Bi Suzana Charles Mwaitenda akiendesha mkutano na wadau wa mradi wa uwezeshwaji wa masuala ya kisheria unaofadhiliwa na shirika la msaada wa kisheria ( Legal Service Facility - LSF).
Mkutano huo uliwahusisha wasaidizi wa kisheria na afisa ustawi wasaidizi kujadili maendeleo ya mradi ulipofikia, changamoto na mafanikio.

CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO

Kituo cha usuluhishi na Upatnishi  (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...