Saturday 28 April 2018

CRC YAKUTANA NA WASAIDIZI WA KISHERIA NA MAAFISA USTAWI WASAIDIZI


Afisa mradi kutoka kituo cha usuluhishi (Crisis Resolving Center - CRC) Bi Suzana Charles Mwaitenda akiendesha mkutano na wadau wa mradi wa uwezeshwaji wa masuala ya kisheria unaofadhiliwa na shirika la msaada wa kisheria ( Legal Service Facility - LSF).
Mkutano huo uliwahusisha wasaidizi wa kisheria na afisa ustawi wasaidizi kujadili maendeleo ya mradi ulipofikia, changamoto na mafanikio.

No comments:

Post a Comment

CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO

Kituo cha usuluhishi na Upatnishi  (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...