Thursday 17 May 2018

CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO

Kituo cha usuluhishi na Upatnishi (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono au ‘one stop center’.

Huduma hiyo ilianza May 15 na kumalizika May 16 ambapo huduma za msaada wa kisheria na elimu ya kisheria juu ya kukabiliana na matukio ya ukatili wa kijinsia zilitolewa. 

Wananchi waliojitokeza walisaidiwa katika kesi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwajengea uwezo na uelewa wa elimu ya kisheria katika kutambua haki zao na kuwaona wataalam mara wanapokumbwa na matukio yanayoitaji msaada wa kisheria.

CRC chini ya ufadhili wa Shirika la Legal Service Facility (LSF) wamejipanga kutoa huduma za 'one stop center' katika kata za Kawe na Saranga zote za jijini Dar es Salaam.






Tuesday 8 May 2018

CRC HOST ITS 8th AGM SUCCESSFUL ON 5th May 2018

CRC Members in group photo during its 8th Annual General Meeting (AGM) held on 5th May 2018 at TAMWA Conference Hall, at Sinza mori, Dar es Salaam.

Wednesday 2 May 2018

CRC AGM ON 5th May 2018

On 5th May, 2018 Crisis Resolving Centre (CRC) is going to host a 7th Annual General Meeting (AGM). That important event shall be done at TAMWA Conference Hall-Sinza Mori, DSM. The AGM is a supreme organ, therefore all members are invited to attend.

CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO

Kituo cha usuluhishi na Upatnishi  (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...