Tuesday, 21 November 2017

LSF YACHANGIA MIAKA 30 YA TAMWA

Legal service Facility (LSF)  watoa mchango mkubwa kwa kununua kitabu cha TAMWA  cha miaka 30 kwa kiasi cha shilling millini moja na laki moja, legal service facility, imeshafanya kazi na TAMWA katika miradi kuwajenge uwezo wadau kuweza kuongea na vyombo vya habari katika mikioa ya Morogoro, Kilimanjaro na Ilala  na inafanya kazi  na CRC katika mradi unaotekelezwa na kituo cha usuluhishi ambapo umelenga kutoa huduma ya ushauri nasihi na msaada wa kisheria kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia katika kata ya makumbusho, kawe na saranga jijini dare s salaam.


Ramadhani Masele  mwakilishi wa LSF  akikabidhiwa kitabu cha miaka 30 ya TAMWA na mgeni rasmi Dr Harison Mwakyembe 

Monday, 6 November 2017

TAAnet Secretary General, Gladness Munuo (right) and Dr. Kissah Mwambene,Secretary General for Mental Health Association of Tanzania

Wednesday, 25 October 2017

      Bi Huruka: Ni mjasiriamali ambaye anaishi na virusi vya ukimwi  kwa muda wa miaka 27, anatengeneza batiki mwenyewe na kuuza sehemu mbalimbali. Pia ameweza kumsomesha mtoto wake mpaka ngazi ya chuokikuu kupitia ujasiriamali wake.
Bi Huruka  (pichani kulia) alipofanya mahojiano na mwandishi wa habari.

     Janeth Mawinza: Ni mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali lijulikanalo kama WAJIKI (Wanawake katika jitihada za kimaendeleo), yeye ni mwanaharakati binafi ambaye anapinga masuala ya ukatili wa kijinsia katika jamii inayomzunguka. Masuala ya ukatili anayopambana nayo ni pamoja na ubakaji, ulawiti, vipigo, udhalilishwaji n.k. Ni mtu anayechulua hatua za haraka panapotokea ukatili wa kijinsia katika eneo lake. Pia anafanya kazi karibu na kituo cha usuluhishi kwa kufuatilia kesi za ukatili wa kijinsia Mahakamani, Polisi, Ustawi wa jamii n.k 

Janeth Mawinza: Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali lijulikanalo kama WAJIKI (Wanawake katika jitihada za kimaendeleo)


Mkurugenzi wa TAMWA – Edda Sanga akifungua mkutano  wa wadau ambao ni wanawake 6 wa mfano walioshiriki katika kazi mbalimbali za kisiasa, kiuchumi na kijamii na kuleta matokeo katika jamii.

Mkurugenzi wa TAMWA – Edda Sanga


Wednesday, 20 September 2017

CRC LAUNCHED THE WOMEN VISIBILITY PROJECT

The Crisis Resolving Centre (CRC) on 15th September, 2017 inaugurated a two months project on Women Visibility.
The project earmarked to promote Tanzanians women especially those who are known as marginalized group, has to be popularised and being heard and seen by different people, that’s shall motivate other women to put more efforts on what they are doing at the same time to be known and identified by the government and private sectors.
Through this project, direct beneficiaries shall be about more than 100 persons includes women and men, and will be obtained through reading of articles from the newspapers and listeners and viewers of electronic media.
About six (6) reporters from electronic and print media shall be benefitted directly; and also, individuals and stakeholders with the interest will also benefit in a one way or another.

In brief this is the beginning and we are expecting to work with more potential Tanzanian women.
CRC Coodinator on Meeting with Journalists and Identified women  in Women Visibility Project at TAMWA Conference Hall

Bi Huruka Mohamed  (on middle), one of the Identified women in Women Visibility Project

Participants at the session proceeding with the discussion at TAMWA Conference Hall


CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO

Kituo cha usuluhishi na Upatnishi  (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...