Wednesday 25 October 2017

      Bi Huruka: Ni mjasiriamali ambaye anaishi na virusi vya ukimwi  kwa muda wa miaka 27, anatengeneza batiki mwenyewe na kuuza sehemu mbalimbali. Pia ameweza kumsomesha mtoto wake mpaka ngazi ya chuokikuu kupitia ujasiriamali wake.
Bi Huruka  (pichani kulia) alipofanya mahojiano na mwandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment

CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO

Kituo cha usuluhishi na Upatnishi  (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...