The Crisis Resolving Center (CRC), or Kituo cha Usuluhishi in Kiswahili language, is a Non Governmental Organization which was established and registered in 2007 with the aim of promoting and protecting human rights, particularly women and children's rights.
Thursday, 26 October 2017
Wednesday, 25 October 2017
Janeth Mawinza: Ni mwenyekiti wa shirika lisilo la
kiserikali lijulikanalo kama WAJIKI (Wanawake katika jitihada za kimaendeleo),
yeye ni mwanaharakati binafi ambaye anapinga masuala ya ukatili wa kijinsia
katika jamii inayomzunguka. Masuala ya ukatili anayopambana nayo ni pamoja na
ubakaji, ulawiti, vipigo, udhalilishwaji n.k. Ni mtu anayechulua hatua za
haraka panapotokea ukatili wa kijinsia katika eneo lake. Pia anafanya kazi
karibu na kituo cha usuluhishi kwa kufuatilia kesi za ukatili wa kijinsia
Mahakamani, Polisi, Ustawi wa jamii n.k
![]() |
| Janeth Mawinza: Mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali lijulikanalo kama WAJIKI (Wanawake katika jitihada za kimaendeleo) |
Subscribe to:
Comments (Atom)
CRC YATOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI MAKUMBUSHO
Kituo cha usuluhishi na Upatnishi (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...
-
Kituo cha usuluhishi na Upatnishi (Crisis Resolving Center – CRC) kimetoa huduma ya siku mbili inayojulikana kama huduma ya mkono kwa mkono...
-
BAADHI ya wananchi wanaoishi Kata ya Saranga eneo la Kimara Temboni jijini Dar es Salaam wamejitokeza kupata huduma za pamoja kwa ...
-
SERIKALI imetakiwa kuongeza idadi ya vituo vinavyotoa huduma ya pamoja kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia ‘One Stop Center’ ili kuwasaidia ...


